Watumishi wa kitengo wameweka mabango yaliyoandikwa maneno ya kuomboleza kifo cha Bibi Khadija (a.s), kama sehemu ya kumpa pole Mtume Muhammad (s.a.w.w), na kuenzi msimamo wake katika kunusuru Dini ya kiislamu, mabango hayo yamewekwa katika eneo la katikati ya haram mbili tukufu.
Atabatu Abbasiyya tukufu imefanya program ya kitamaduni na maombolezo, sambamba na kujenga uwezo wa uelewa wa misingi ya uislamu mtukufu.


