Zuwaru wamesoma dua Nnudba ndani ya ukumbi wa haram ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Ukumbi wa malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) asubuhi ya Ijumaa, umeshuhudia usomwaji wa dua Nnudba iliyohudhuriwa na kundi kubwa la zuwaru.

Dua imesomwa katika mazingira tulivu na kwa ushiriki wa kundi kubwa la zuwaru wa malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s).

Watumishi wa Atabatu Abbasiyya wameweka mazingira mazuri ya usomaji wa dua, wameandaa vitabu vya dua, sehemu maalum ya kufanyia ibada na kutoa huduma za lazima kwa zuwaru.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: