Zuwaru wanasoma dua Nnudba ndani ya ukumbi wa malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Ukumbi wa malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s), umeshuhudia usomwaji wa dua Nnudba uliohudhuriwa na kundi kubwa la zuwaru asubuhi ya Ijumaa.

Ibada ya usomaji wa dua imefanywa katika mazingira tulivu na kuhudhuriwa na zuwaru wa malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s).

Watumishi wa Atabatu Abbasiyya huandaa mazingira mazuri ya usomaji wa dua, huandaa vitabu vya dua, sehemu maalum ya kufanyia ibada na hutoa huduma za lazima kwa zuwaru.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: