Vyombo vya habari vya Karbala vyaandaa frikwens za bure za kurushia matukio ya kongamano la Rabiu Shahada la kimataifa awamu ya kumi na tatu..

Maoni katika picha
Kundu la vyombo vya habari vya Karbala limetangaza kuandaliwa kwa frikwens za bure zitakazo rusha matukio ya kongamano la Rabiu Shahaba la kitamaduni na kimataifa awamu ya kumi na tatu (clean) litakalo anza alasiri ya siku ya Juma Pili (3 Shabani 1438 h) sawa na (30 April 2017 m) saa 4:00 jioni hadi saa 6:30 jioni, Frikwens hizo zinapatikana katika masafa yafuatazo:

Setellite: Eutelsat 3B

Degree:- 3.1E

F:- 11046.295

S.r:-2.220

FEC:3/4

Pol: H

Kwamaelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:

(009647708020044 au 009647706730178).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: