Idara ya kunufaika na mitambo yatangaza ratiba ya safari za kwenda kuzuru maeneo matakatifu, ufafanuzi upo ndani ya habari..

Maoni katika picha
Idara ya kunufaika na mitabo ya Atabatu Abbasiyya tukufu imetangaza ratiba ya kila wiki ya safari za kwenda kuzuru maeneo matakatifu kama ifuatavyo:

Siku
Sehemu ya kwenda
Sehemu ya kuondokea
Muda wa kuondoka
Bei ya tiketi
Juma Pili
Watoto wa Muslim (a.s)+ Kadhimiyya takatifu
Mlango wa Bagdad karibu na dirisha
Saa moja asubuhi
5000 Dinari za Iraq
Juma Nne
Njafafu Ashrafu+ Kufa+ Masjid Sahla
Mlango wa Bagdad karibu na dirisha
Saa saba Adhuhuri
4000 Dinari za Iraq
Juma Tano
Hamza+ Qassim+ Alawiyyat Sharifah
Mlango wa Bagdad karibu na dirisha
Saa moja asubuhi
4000 Dinari za Iraq
Ijumaa
Samara+ Sayyid Muhammad (a.s)
Mlango wa Bagdad karibu na dirisha
Saa kumi na mbili asubuhi
9000 Dinari za Iraq



Kufanya buking (kuweka oda) na kupata maelezo zaidi piga namba zifuatazo:

07602327074/ 07602326779, ua tembelea ofisi za idara zilizopo katika eneo la mlango wa Bagdad jengo la Askariyain (a.s) –hoteli ya Dalla ya zamani- mkabala na dispensary ya mlango wa Bagdad au ofisi ya buking ya Saaqi katika barabara ya Maitham Tamaar.

Tambua kua basi zinazo tumika ni za kisasa na zina vitia baridi (A/C) zinabeba watu (50) na zipo za watu (29).

Tunapenda kukujulisha kua eneo la mlango wa Bagdad lipo upande wa kaskazini ya Atabatu Abbasiyya tukufu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: