Kamati imeweka masharti yafuatayo ya ushiriki:
- 1- Wazo la filamu liendane na kauli mbiu ya kongamano.
- 2- Filamu ielezee ushujaa wa wanajeshi na Hashdi Sha’abi kwa ujumla katika kulinda kwao taifa na misingi ya ubinadamu, mazingira na maeneo matukufu.
- 3- Isiwe imesha wahi kuonyeshwa katika mitandao au katika maonyesho mengine.
- 4- Isizidi dakika ishirini na isiwe chini ya dakika moja, na iwe imetafsiriwa kwa kiengereza.
- 5- Filamu itengenezwe katika aina ya (HD) au (Lavi).
- 6- Ihifadhiwe kwenye (CD) na iwasilishwe katika kitengo cha habari na utamaduni cha Atabatu Abbasiyya tukufu pamoja na wasifu (CV) ya mtengenezaji wa filamu, au inaweza kutumwa kwenye mtandao huu (info@holyfatwa.com). Na mwisho wa kupokea filamu hizo ni (21 Juni 2018m).
Washindi watatu wa mwanzo watapewa zawadi za pesa kama ifuatavyo:
- Mshindi wa kwanza: Milioni mbili dinari za Iraq (2,000,000).
- Mshindi wa pili: Milioni moja na laki tano dinari za Iraq (1,500,000).
- Mshindi wa tatu: Milioni moja dinari za Iraq (1,000,000).