Majina ya walio faulu kwa mpangilio wa ufaulu wao kuanzia wa kwanza hadi wa kumi:
- 1- Ihaabu Mundhir kutoka mkoa wa Diwaniyya.
- 2- Dhiyaau Azizi kutoka mkoa wa Karbala.
- 3- Muhammad Ali Hassan kutoka mkoa wa Karbala.
- 4- Sajaad Hassan kutoka mkoa wa Baabil.
- 5- Israa Miqdad kutoka mkoa wa Karbala.
- 6- Twaiba Haatam kutoka mkoa wa Karbala.
- 7- Sajaad Abdu-Zuhra kutoka mkoa wa Karbala.
- 8- Ali Murtadha Hussein kutoka mkoa wa Karbala.
- 9- Dhiyaau Shaakir Karim kutoka mkoa wa Karbala.
- 10- Muhammad Adhim kutoka mkoa wa Karbala.
Kamati ikasema kua hafla ya kugawa zawadi kwa washindi hao itafanyika katika ukumbi wa Atabatu Abbasiyya tukufu.
Kumbuka kua kamati umeandaa zawadi zifuatazo kwa washindi:
Mshindi wa kwanza: (1,000,000) milioni dinari za Iraq.
Mshindi wa pili: (500,000) laki tano dinari za Iraq.
Mshindi wa tatu: (250,000) laki mbili na elfu hamsini dinari za Iraq.
Mshindi wa nne hadi wa kumi: (150,000) laki moja na elfu hamsini dinari za Iraq.