Kutangazwa tafiti zilizo shinda katika mashindano ya lipi ya tafiti za waandishi wa habari…

Maoni katika picha
Kamati ya elimu ya mashindano ya tafiti za waandishi wa habari ya pili imetangaza majina ya tafiti zilizo shinda katika mashindano yaliyo simamiwa na jarida la Riyadhi Zaharaa ya mwaka wa pili mfululizo na kuingizwa katika ratiba ya mkutano wa tatu kipengele hicho, utakao kua na ushiriki mkubwa wa watafiti wa kisekula kutoka katika miji mbalimbali.

Tafiti hizo zilichujwa kwa kufuata masharti na kanuni za kielimu, matokeo yaliyo tangazwa yapo kama yafuatavyo:

  • 1- Utangazaji wa namba (utangazaji mpya) wa dokta Ghadhuun Hussein.
  • 2- Njia za upotoshaji wa habari na nafasi yake katika kujenga uwelewa. Dokta Taghridi Haidari.
  • 3- Upotoshaji wa habari na nafasi yake katika kubadilisha ukweli (vyombo vya habari vya Daesha kama mfano). Dokta Khadija Hassan Alqaswiir.

Tafiti hizo pia zitajadiliwa katika kikao cha kiutafiti chini ya mkutano wa waandishi wa habari wa tatu na kuongozwa na Dokta Maryam Tamimi.

Tunapenda kufahamisha kua mashindano ya kitafiti yanalenga kuongeza ufanisi katika sekta ya uwandishi wa habari chini ya misingi sahihi ya kimataifa.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: