Kwa picha: Hivi ndio walivyo omboleza waumini usiku wa kifo cha Imamu Kaadhim (a.s) kwenye malalo yake takatifu.

Maoni katika picha
Usiku wa simanzi na huzuni katika mji mtukufu wa Kadhimiyya, kama kawaida kila mwaka wapenzi na wafuasi wa Ahlulbait (a.s) huhuisha mapenzi na utiifu wao kwa Imamu Kaadhim (a.s), husimama kwa unyenyekevu na kuitikia wito wa kiongozi wao mdhulumiwa aliye uwawa kwa sumu mlango wa haja (baabu hawaaiji) (a.s), wapenzi na wafuasi wa Ahlulbait (a.s) wamejaa huzuni kubwa katika usiku wa kumbukumbu ya kifo cha Imamu Mussa bun Jafari (a.s).

Kamera ya mtandao wa Alkafeel inakuletea baadhi ya picha za waombolezaji hao.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: