Kiongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya tukufu amekutana na balozi wa Japani.

Maoni katika picha
Balozi wa Japani amekutana na Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi (d.i) kiongozi mkuu wa kisheria wa Atabatu Abbasiyya tukufu, wamejadili namna ya kukuza ushirikiano kati ya Atabatu Abbasiyya na Jabani, hasa katika sekta ya tiba na utamaduni, balozi ameonyesha kufurahishwa na ziara yake.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: