Muhimu… Ofisi ya Sayyid Sistani imetangaza kua kesho tunakamilisha thelathini ya mwezi wa Shabani na Jumanne ndio siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Maoni katika picha
Ofisi ya Marjaa Dini mkuu Ayatullah Sayyid Sistani katika mji mtukufu wa Najafu, imetangaza kua kesho Jumatatu tunakamilisha mwezi wa Shabani (1440h), na siku ya Jumanne sawa na (07/05/2019m) ndio siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani (1440h).

Ufuatiliaji na uhariri: kamati ya wahariri wa mtandao wa kimataifa Alkafeel.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: