Maoni katika picha
Nao ni miongoni mwa miradi muhimu katika mkoa wa Karbala pamoja na Iraq kwa ujumla, utasaidia sekta ya kilimo cha chakula kwa watu wa Karbala na mikoa mingine ya Iraq ya kusini, upatikanaji wa maji ya visima utasaidia pindi maji ya mto yatakapo kauka kwani visima ni hazina kubwa ya maji na inatakiwa itumiwe vizuri.
Haikuishia kuchimba visima peke yake bali kuna miradi mingine, kama kujenga kituo kikubwa cha kusafisha maji, na kituo cha mitambo ya kuendesha mradi huo pamoja na kulima baadhi ya mazao adim na tende.