Tangazo la kituo cha utamaduni wa familia chini ya Atabatu Abbasiyya tukufu

Maoni katika picha
Kituo cha utamaduni wa familia chini ya Atabatu Abbasiyya tukufu kinatangaza kufanyika kwa kongamano la pili kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia tarehe: 18 hadi 22 Julai 2019m.

Na kongamano la tatu kwa wanafunzi wa sekondari litafanyika tarehe: 25 hadi 29 Septemba 2019m.

Fahamu kua kongamano hili linahusu wanafunzi wenye umri kati ya miaka (13 – 18) kutoka mkoa wa Karbala na litakua na: (masomo ya kitamaduni, kifamilia, kimaadili, kiufundi -kujifunza kazi za mikono-, mijadala, mashindano na matembezi).

Kwa yeyote anayependa kujisajiri afike kwenye ofisi za kituo cha utamaduni wa kifamilia zilizopo Karbala/ mtaa wa Mulhaqu/ jengo la Swidiiqah Twahirah (a.s)/ ghorofa ya tano kujaza fomu maalum ya kujisajili.

Tambua: Usafiri wa kwenda na kurudi upo, kwa maelezo zaidi piga simu namba: 07828884555.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: