Kitengo cha habari na utamaduni kimehitisha semina

Maoni katika picha
Kitengo cha habari na utamaduni katika Atabatu Abbasiyya tukufu kupitia idara ya watoto na makuzi kimehitimisha semina iliyodumu kwa muda wa siku kumi, iliyotolewa kwa watumishi wa kitengo hicho na kitengo cha maarifa ya kiislamu na kibinadamu, iliyo lenga kuongeza uwezo wao na kutambua vipaji vyao pamoja na kuwapa maelekezo sahihi kwa mujibu wa mtazamo mpya, chini ya usimamizi wa walimu waliobobea kutoka ndani na nje ya Ataba.

Wakati wa kufunga semina hiyo, wanasemina wamepewa vyeti vya ushiriki na kupongezwa na wasimamizi kuwa ushiriki wao ulikua mzuri na wameongeza maarifa katika fani zao, kupitia mada zilizo fundishwa, inatupa moyo wa kuandaa semina zingine siku za mbele na kufundisha mambo tofauti.

Kumbuka kua semina hiyo imefanyika ndani ya ukumbi wa Qassim (a.s) katika Atabatu Abbasiyya chini ya walimu walio bobea katika mada zilizo fundishwa ndani ya siku zote kumi, kila siku walifundishwa mada mbili au tatu, siku ya kwanza walifundishwa mada zifuatazo:

  • - Uandishi wa mradi.
  • - Hafla ya utambulisho.
  • -
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: