Marjaa Dini mkuu: tunatahadharisha wale wanaotaka kutumia maandamano kwa maslahi yao binafsi.

Maoni katika picha
Marjaa Dini mkuu amekemea watu wanaotaka kutumia maandamano kwa maslahi yao binafsi, amesema hayo katika khutuba ya Ijumaa ya leo (9 Rabiul-Thani 1441h) sawa na (6 Desemba 2019m) ndani ya haram ya Imamu Hussein (a.s), iliyo somwa na Mheshimiwa Shekh Abdulmahadi Karbalai, lifuatalo ni tamko kuhusu swala hilo:

(tunakemea watu wanaotaka kutumia maandamano ya kudai islahi, kwa manufaa yao binafsi badala ya maslahi ya taifa na raia wa Iraq).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: