Marjaa Dini mkuu amesisitiza umuhimu wa jeshi na vikosi vyote vya wapiganaji kua chini ya serikali kuu.

Maoni katika picha
Marjaa Dini mkuu amerudia kusisitiza umuhimu wa jeshi na vikosi vya wapiganaji kuwa chini ya serikali kuu.

Ameyasema hayo katika khutuba ya swala ya Ijumaa leo (16 Rabiul-Aakhar 1441h) sawa na (13 Desemba 2019m) ndani ya haram ya Imamu Hussein (a.s), iliyo somwa na Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi, lifuatalo ni tamko kuhusu swala hilo:

(Yatupasa kusisitiza yale tuliyosema kuhusu umuhimu wa jeshi na vikosi vyote vya ulinzi na usalama vya Iraq vinapaswa kua chini ya misingi madhubuti -serikali kuu-, vinapaswa kulinda taifa dhidi ya uadui wowote kutoka nje sambamba na kulinda utaratibu wa kisiasa unaotokana na matashi ya wananchi chini ya katiba).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: