Mazao ya kilimo kutoka kwenye shamba la Khairaat Abulfadhil Abbasi (a.s) yanachukua asilimia ishirini (%20) ya mazao ya chakula katika soko la ndani.

Maoni katika picha
Katika kusaidia soko la ndani kwenye sekta ya mazao ya kilimo hapa Iraq na kusaidia kuondoa tatizo la chakula kwa wananchi, mashamba ya Khairaat Abulfadhil Abbasi (a.s) yanaingiza kwa wingi mazao ya kilimo katika soko la ndani, kiasi cha mazao katika soko hili kimefikia asilimia ishirini (%20).

Mashamba hayo ni rafiki wa mazingira kutokana na kutumia samadi zisizo kua na kemekali zenye madhara kwa mazingira, aidha mashamba hayo yana aina mbalimbali za mazao yanayo weza kulimwa majumbani kwa kutumia mifuko ya plastiki, hali kadhalika kuna mashamba ya ngano, shairi na mazao mengine yanayo limwa kwa maji ya kumwagilia, ambayo ni moja ya njia za kisasa katika sekta ya kilimo inayo tumika duniani.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: