Walimu hao wawasili katika shule za Al-Ameed zilizopo mtaa wa Baladiyya barabara ya Nahri karibu na maduka ya Haji Raádu Shuuk, kuanzia Jumamosi ya tarehe (18/01/2020m).
Kwanza: Mambo yanayo hitajika:
- 1- Kufundisha somo ulilo bobea.
- 2- Kuwasilisha daftari la andalio la somo.
- 3- Kuwasilisha vifaa vya kufundishia, na inapendekezwa viwe vya kisasa.
- 4- Kuwasilisha vielelezo vinne au kitambulisho cha taifa pamoja na uthibitisho wa kuhitimu masomo yako (cheti).
Pili: Maelezo mengine:
- Maandalizi ya jaribio.
- Kuwasilisha faili lenye (barua ya maombi, kopi za rangi za vielelezo vinne, kopi ya cheti ya rangi, vielelezo vyovyote vinavyo thibitisha elimu yako).
- Muombaji awe ni mkazi wa Karbala.
Tatu: Masomo yanayo hitajika:
(Masomo ya tarbiyya na saikolojia), waombaji wawe ni wahitimu wa chuo cha (sayansi na adabu) na wahitimu wa chuo cha misingi ya malezi au wahitimu wa maahadi za kuandaa walimu.