Hivi punde na muhimu: hospitali ya rufaa Alkafeel.. Sayyid Swafi atangaza kufanikiwa kwa upasuaji aliofanyiwa Marjaa Dini mkuu.

Maoni katika picha
Mwakilishi wa Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi akiwa katika hospitali ya rufaa Alkafeel, ametangaza kufanikiwa kwa upasuaji alio fanyiwa Marjaa Dini mkuu Ayatullah Sayyid Ali Husseini Sistani.

Jopo la madaktari wa kiiraq (walio mfanyia upasuaji huo) limebashiri kua atapona haraka kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, tutakupeni taarifa zaidi kama zitakavyo tufikia…
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: