Idara ya usomaji wa Quráni inakusudia kufanya semina ya usomaji wa Quráni tukufu na imetangaza majina ya washiriki.

Maoni katika picha
Idara ya usomaji chini ya Maahadi ya Quráni tukufu katika Atabatu Abbasiyya imetangaza majina (47) ya wanafunzi waliokubaliwa kuingia katika semina ya pili ya uhakiki na usomaji wa Quráni, katika semina hiyo watafundishwa hukumu za usomaji, sauti na naghma za kiiraq kwa mahadhi yote pamoja na uhakiki wa aya za Quráni. Idara imesema kua semina itaanza siku ya Alkhamisi (4 Jamadal-Aakhar 1441h) sawa na (30 Januari 2020m).

Majina ya washiriki hao ni:

Bahaau Subhi Khaliil

Ibrahim Abdul-Abbasi

Hussein Ghab-bwani Karim

Haidari Muhammad Zaamil

Fadhil Abbasi Audah

Muhammad Bashari Abbasi

Khadhiir Abbasi Hasuun

Amjad Saalim Karim

Kaadhim Twaahir

Ghassaan Kaadhim

Hussein Ali

Murtadha Subhi Khaliil

Muhammad Haidari Abdulhussein

Barakati Ahmadi Twa’mah

Ibrahim Hassan Faalih

Baariq Muhammad Saidi

Abdullahi Hussein

Ali Saahil

Faliih Muradi Aboud

Kaadhim Abdujaasim

Abbasi Jaabir Haadi

Muhammad Kaadhim Abdujaasim

Jafari Swadiq Hussein

Muhammad Abduljaliil Abdusultani

Muammal Riyaadh Hassan

Muntadhir Abdusataar Abdulatiif

Ridhwa Yunusi Qassim

Salaam Ali Ridhwa

Zaiduni Twalibu Muhammad Ali

Khalidi Abdu-Ali

Yusufu Muhammad Ahmadi

Haqi Abdu-Ali

Muhammad Abdu-Ali

Haidari Sharifu

Abdu-Swahibu Khadhwiir

Ahmadi Abduzuhura Muhammad

Muhyidini Khadhwiir

Hassan Abbasi Jaasim

Haidari Ali Naaji

Zainul-Abidina Jabbaar

Mahdi Ali Naaji

Zainul-Abidina Jabbaar

Mahdi Ali Naaji

Amiru Qahtwani Adnani

Muhammad Maliki Jasaab

Maitham Abdul-Hassan Naaji

Hussein Karim Habibu

Hussein Ali Hussein

Amiri Raaid Ali

Kumbuka kua semina hii imeandaliwa baada ya kufanikiwa kwa semina iliyopita iliyopewa jina la semina ya bwana wa maji (daurat sayyidul-maai) ya kuhakiki usomaji wa Quráni tukufu kwa mahadhi ya kiiraq na kimisri, kwani mahadhi hayo yanaongoza katika usomaji wa huzuni na unyenyekevu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: