Wito wa kushiriki kwenye semina ya ibada ya hija

Maoni katika picha
Maahadi ya Turathul-Anbiyaa (a.s) ya masomo ya hauza kielektronik, imetangaza kufungua semina maalum ya kufafanua na kufundisha ibada ya hija iliyo pewa jina la (Kufafanua ibada ya hija), na imetoa wito kwa kila anaetaka kushiriki ajaze fomu iliyopo kwenye mtandao kupitia linki hii https://bit.ly/370wEfE

Maahadi imesema kua semina hiyo inawakufunzi mahiri, usajili utaanza 6 Jamadal-Aakhar/1441h, kuna zawadi ya pesa kwa watu watatu wa kwanza watakao shinda katika mitihani itakayo tolewa mwisho wa semina, zawadi hizo ni kama zifuatazo:

  • 1- Mshindi wa kwanza: atapewa laki mbili na elfu hamsini (250,000) dinari za Iraq.
  • 2- Mshindi wa pili: atapewa laki moja na elfu hamsini (150,000) dinari za Iraq.
  • 3- Mshindi wa tatu: atapewa laki moja (100,000) dinari za Iraq.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: