Arshu Tilawah inaendelea na mahafali zake za kila wiki, imewaalika wasomaji kutoka muungano wa wasoma Quráni tukufu katika mkoa wa Misaan.
27-04-2019
Arshu Tilawah inaendelea na mahafali zake za kila wiki, imewaalika wasomaji kutoka muungano wa wasoma Quráni tukufu katika mkoa wa Misaan.
Kuna miradi mingi ya Quráni tukufu inayo fanywa na Maahadi ya Quráni ya Atabatu Abbasiyya, miongoni mwa miradi hiyo ni mradi wa Arshu Tilawah, nao unalenga kunufaika na vipaji vya usomaji wa Quráni v ...