Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Mradi wa kuongeza eneo la mazuwaru
Mradi huu unajengwa kwa ajili ya kupunguza msongamano wa mazuwaru na kuongeza kiwango cha idadi ya mazuwaru, hususan wakati wa ziara zinazo hudhuriwa na mamilioni ya watu ambapo hutokea msongamano mkubwa wa mazuwaru, na kuathiri utendaji wa ibada kutokana na msongamano wakati wa kuingia ndani ya Ataba tukufu.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 11
24-07-2021
05-07-2021
24-03-2021
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 65
Zaidi