Mradi wa majengo ya kitamaduni na kusomeshea awamu ya kwanza na ya tatu: Kazi inaendelea vizuri kwa kiwango kikubwa…
21-12-2017
Mradi wa majengo ya kitamaduni na kusomeshea awamu ya kwanza na ya tatu: Kazi inaendelea vizuri kwa kiwango kikubwa…
Rais wa miradi ya kihandisi katika Atabatu Abbasiyya tukufu, Muhandisi Dhiyaau Majidi Swaaigh amesema kua; ujenzi wa kituo cha utamaduni na kusomeshea hatua ya kwanza na ya tatu unaendelea vizuri kwa kiwango kikubwa, pam ...