Mkuu wa hospitali ya Hindiyya: Hakika kujenga kituo cha kuhudumia wagonjwa wa Korona sio jambo geni kwa Atabatu Abbasiyya tukufu
04-04-2020
Mkuu wa hospitali ya Hindiyya: Hakika kujenga kituo cha kuhudumia wagonjwa wa Korona sio jambo geni kwa Atabatu Abbasiyya tukufu
Mkuu wa hospitali ya Hindiyya Dokta Waathiq Hasanawi amesema kua; kama Ataba ilivyo ahidi, imeanza kujenga kituo cha kuhudumia watu walioambukizwa virusi vya Korona katika eneo la hospitali kuu ya Hindiyya.
Akaongeza ...