Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Ukarabati na uwekaji marumaru kwenye ukuta wa nje ya haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s)
Miongoni mwa kazi za ukarabati unao endelea katika Atabatu Abbasiyya tukufu zinazo pendezesha muonekano wa eneo hili tukufu, ni uimarishaji wa ukuta wa nje ya haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s), kazi ambayo ni miongoni mwa mradi wa upauwaji wa uwanja wa haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s).
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 2
03-01-2017
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 36
Zaidi