Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Jengo la vitengo vya Atabatu Abbasiyya tukufu
Atabatu Abbasiyya tukufu inashuhudia maendeleo makubwa kwenye vitengo vyake vyote, na asilimia kubwa ya vitengo hivyo vipo ndani ya haram tukufu jambo linalo sababisha nafasi kua ndogo kutokana na maendeleo hayo, kwa ajili ya kuwapa fursa zaidi mazuwaru na kuifanya haram tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) kua mahala pa kufanya ziara na ibada, uongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya umeamua kujenga jingo maalum kwa ajili ya vitengo na idara zake zote ili zifanye kazi ndani ya jingo moja chini ya utaratibu wa kitaasisi.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 11
17-04-2021
27-12-2020
28-01-2019
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 137
Zaidi