Atabatu Abbasiyya tukufu inaanza ujenzi wa kituo cha tano cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya Korona jijini Bagdad
10-06-2020
Atabatu Abbasiyya tukufu inaanza ujenzi wa kituo cha tano cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya Korona jijini Bagdad
Makamo katibu mkuu wa Atabatu Abbasiyya tukufu Mhandisi Abbasi Mussa Ahmadi amesema kuwa kitengo cha usimamizi wa miradi ya kihandisi kimeanza kujenda kituo cha tano cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya Korona.
...