Waziri wa afya aipongeza Atabatu Abbasiyya kwa kuisaidia wizara yake mjini Bagdad na namna inavyo saidia kupambana na janga la Korona
10-07-2020
Waziri wa afya aipongeza Atabatu Abbasiyya kwa kuisaidia wizara yake mjini Bagdad na namna inavyo saidia kupambana na janga la Korona
Waziri wa afya na mazingira nchini Iraq Dokta Hassan Muhammad Tamimi amepongeza kazi zinazo fanywa na Atabatu Abbasiyya tukufu, kwa kusaidia wizara yake katika mji wa Bagdad na mikoa mingine kupambana na janga la Korona, ...