Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Kuweka marumaru katika ukumbi wa haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s)
Baada ya kumaliza kuweka marumaru katika haram ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s), sasa kazi hiyo imehamia katika ukumbi wa haram, watumishi wa kitengo cha miradi ya kihandisi na kitengo cha uangalizi wa Atabatu Abbasiyya wameanza hatua ya kwanza ya mradi huo, inayo husisha kuweka marumaru kwenye sakafu na eneo la baina ya sakafu na Kashi Karbalai kwa tukumia marumaru za kifahari.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 6
23-04-2019
12-03-2019
23-12-2018
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 58
Zaidi