Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Vituo vya kusafisha maji (R.O station)
Atabatu Abbasiyya tukufu imefanya miradi mingi ya utowaji wa huduma, miongoni mwa miradi hiyo ipo inayo mgusa moja kwa moja mwananchi wa Iraq, imefanya kila iwezalo kuwapunguzia matatizo, miongoni mwa matatizo ambayo imejitahidi kuyapunguza ni tatizo la maji, imejenga vituo vya kusafisha maji (R.O station) katika maeneo tofauti, wanufaika wa mradi huu ni zaidi ya maelfu kwa maelu ya wananchi pamoja na mazuwaru na mawakibu, kuna baadhi ya vituo vimejengwa rasmi kwa ajili ya kuwahudumia wao (mazuwaru na mawakibu).
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 18
23-05-2022
26-08-2021
13-07-2021
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 87
Zaidi