Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Mradi wa kujenga mabweni ya chuo kikuu cha Al-Ameed
Kwa ajili ya kupokea idadi kubwa ya wanafunzi na kuwaandalia mazingira mazuri ya masomo, pamoja na kuwapunguzia tabu wazazi na walezi ya kuwatafutia nyumba salama za malazi, kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika Atabatu Abbasiyya tukufu kinafanya ujenzi huu chini ya miradi ya ujenzi wa mabweni katika chuo kikuu cha Al-Ameed, ambacho kipo chini ya kitengo cha malezi na elimu ya juu katika Ataba tukufu.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 5
01-04-2019
09-01-2019
03-11-2018
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 6
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 1