Mganga mkuu wa Baabil amesema kuwa: Jengo la Alhayaat la saba linajengwa na Atabatu Abbasiyya tukufu katika mapambano yake dhidi ya virusi vya Korona
10-08-2020
Mganga mkuu wa Baabil amesema kuwa: Jengo la Alhayaat la saba linajengwa na Atabatu Abbasiyya tukufu katika mapambano yake dhidi ya virusi vya Korona
Mganga mkuu wa Baabil Dokta Muhammad Hashim Jafari ametembelea mradi wa jengo la Alhayaat la saba, linalo jengwa na Atabatu Abbasiyya tukufu kupitia kitengo cha usimamizi wa kihandisi kama sehemu ya kusaidia sekta ya afy ...