Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Jengo la Alhayaat la saba katika mkoa wa Baabil
Baada ya Atabatu Abbasiyya tukufu kupokea maombi kutoka kwa viongozi wa idara ya afya ya mkoa wa Baabil ya kujengewa kituo cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya Korona, na kuongeza uwezo wa kulaza wagonjwa wa Korona pamoja na kusaidia idara ya afya kwa ujumla, Ataba imeanza ujenzi haraka pamoja na kushughulishwa na ujenzi kama huo kwenye mkoa wa Karbala, Bagdad na Muthanna.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 36
21-09-2020
21-09-2020
21-09-2020
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 256
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 3