Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Jengo la wanafunzi wa kutwa wa kitivo cha udaktari wa meno katika chuo kikuu cha Al-Ameed
Jengo linaukubwa wa mita za mraba (420) na linaghorofa nne, tabaka la chini kuna ofisi tatu za idara na chumba cha mapokezi pamoja na vyumba vingine vya mionzi, na ghorofa tatu kila moja inakumbi mbili za madarasa, kila darasa likiwa na uwezo wa kuingia wanafunzi (28) wa kukaa umbali unaotakiwa kiafya kati ya mtu na mtu, pamoja na vifaa vyote vinavyo hitajika kwa ajili ya wanafunzi (28) na vifaa-tiba vingine.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 4
04-04-2021
04-01-2021
06-06-2020
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 47
Zaidi