Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Shule ya kulea watoto chini ya mwenendo wa Ahlulbait (a.s)
Shule ya kulea watoto chini ya mwenendo wa Ahlulbait (a.s), ni moja ya miradi ya kimalezi ambayo ipo chini ya shule ya Darul-Ilmi iliyopo Atabatu Abbasiyya, inalenga kuongeza uelewa na maarifa ya turathi kwa vijana, kwa kutumia zana za kisasa na kwa namna inayo endana na uwezo wa kiakili wa kila kikundi, siku za nyuma walikua wanafundishia katika Husseiniyya na misikiti, baada ya kupata mwitikio mkubwa ndipo ikaja fikra ya kujenga shule hii itakayo lea harakati hizo.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 4
17-11-2020
03-12-2019
20-06-2019
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 14
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 2