Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Nyumba za makazi Alwafaa
Mradi wa nyumba za makazi Alwafaa, unalenga kuwapa nyumba za kuishi familia za mashahidi wa kikosi cha Abbasi (a.s) cha wapiganaji, nyumba hizo zimejengwa na kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika Atabatu Abbasiyya, nazo ni sehemu ndogo ya kuonyesha kuthamini kazi kubwa iliyofanywa na mashahidi kwa ajili ya taifa hili, pamoja na kuzisaidia familia ambazo zilijitolea kila kitu kwa ajili ya kulinda taifa, wananchi na maeneo matakatifu.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 8
26-05-2020
26-05-2020
26-05-2020
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 27
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 1