Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Mlango wa dirisha la Maqaam ya Imamu Mahadi (a.f)
Mafundi wa kitengo cha kutengeneza madirisha ya kwenye makaburi matakatifu na milango ya kwenye makaburi matukufu katika Atabatu Abbasiyya wameweka dirisha la Maqaam ya Imamu Mahadi (a.f) sehemu ya dirisha la zamani lililo tengenezwa makumi ya miaka iliyo pita, jambo ambalo limepelekea kuharibika kwa dirisha hilo na kulifanya lisiendane na maboresho ya jengo hilo yanayofanywa.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 3
22-02-2020
01-02-2020
08-08-2019
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 14
Zaidi